Top 10 similar words or synonyms for eric

jason    0.964466

davis    0.959137

gary    0.957372

frank    0.954651

moore    0.954053

brian    0.953961

billy    0.953635

miller    0.951894

russell    0.950852

parker    0.950188

Top 30 analogous words or synonyms for eric

Article Example
Eric Cornell Eric Allin Cornell (amezaliwa 19 Desemba, 1961) ni mwanafizikia kutoka nchi ya Marekani. Hasa anachunguza chembe za atomu. Mwaka wa 2001, pamoja na Carl Wieman na Wolfgang Ketterle, alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
Eric Wainaina Pamoja na Mumbi Kaigwa na Andrea Kalima, Eric alisaidia kuandika mpangilio wa muziki wa Kigezi Ndoto, mchezo wa kuigiza wa Kenya ulioongozwa na Kaigwa, ambao ulizuru Ulaya kushiriki katika World Theatre Music Festival-2006. Yeye pia ameandika muziki ya Owen & Mzee, onyesho linalowadia kuhusu hadithi ya urafiki usiokuwa wa kawaida kati ya kobe na mtoto wa kiboko katika pwani ya Kenya. Onyesho hili limejikita katika kitabo bora cha watoto linalotumia jina hilo.
Eric Balfour Eric Salter Balfour (amezaliwa tar. 24 Aprili 1977) ni mwimbaji na mwigizaji wa filamu na televisheni kutoka nchini Marekani. Huyu ndiye mwimbaji kiongozi wa bendi ya "Born As Ghosts", zamani ilikuwa inajulikana kwa jina la "Fredalba". Huenda akawa anafahamika zaidi kwa kucheza kama Milo Pressman kutoka katika mfululizo wa kipindi cha televisheni cha Kimarekani maarufu kama "24".
Eric Shigongo Eric Shigongo ni mjasiriamali ambaye alijikita katika uandishi wa vitabu.
Eric Wainaina Wainaina alizaliwa mjini Nairobi, Kenya, na George Gitau Wainaina na Margaret Wangari Wainaina. Yeye ana ndugu mmoja, Simon Wainaina. Upendo wake wa muziki ulianza akiwa na umri mdogo. Alipata piano akiwa na umri wa miaka 4, iliyokuwa imenunuliwa kwa ajili ya ndugu yake Simoni ambaye alipendelea soka. Wainaina basi alichukua masomo katika piano shingo upande. Yeye walishiriki katika kwaya akiwa katika shule ya msingi na ya upili ya St Mary's, Nairobi, lakini kwa muda mfupi alicheza mchezo wa vikapu. Alipokuwa akikua, Wainaina aliathiriwa kimuziki na wasanii wa kimataifa, kama vile Papa Wemba, Youssou N'Dour, Lokua Kanza na Paul Simon.