Top 10 similar words or synonyms for hermit

phaetornis    0.987187

carpodacus    0.986090

rosefinch    0.985837

spot    0.983387

eyed    0.981580

cruentus    0.980924

tawny    0.979518

lonchura    0.979285

fronted    0.978035

parrotbill    0.977604

Top 30 analogous words or synonyms for hermit

Article Example
Paulo wa Tebe Id., Inventing an Ascetic Hero: Jerome’s Life of Paul the First Hermit, in A. Cain – J. Lössl (edd.), Jerome of Stridon: Life, Writings and Legacy, Aldershot 2009, pp. 13-28.
Ngugi wa Thiongo Baada ya kumaliza Alliance High akasoma Makerere akahitimu kupata digirii ya Kiingereza mwaka 1963. Akafunga ndoa na Nyambura mwaka 1961 akazaa naye watoto sita katika miaka iliyofuata. 1962 aliandika tamthilia yake ya kwanza "The Black Hermit". Baada ya digrii alirudi Nairobi alipofanya kazi ya uandishi wa gazeti.
Fasihi ya Kiafrika Katika kipindi hiki, tamthilia za Kiafrika zilianza kuibuka. Herbert Isaka Ernest Dhlomo wa Afrika ya Kusini alichapisha tamthilia ya kwanza ya Kiafrika kwa Kiingereza katika mwaka wa 1935. Mwaka 1962, Ngugi wa Thiong'o kutoka Kenya aliandika mchezo wa kuigiza wa kwanza wa Afrika ya Mashariki, "The Black Hermit", hadithi iliyohadhari "ukabila" (ubaguzi kati ya makabila ya Afrika).
Kaa (mnyama) Kaa ni wanyama wa faila Arithropodi, oda Decapoda na oda ya chini Brachyura (brakhys = fupi, oura = mkia) ambao kwa kawaida wana mkia mfupi mno au fumbatio lao limejificha ndani ya kifua. Wanyama wengine wafananao na kaa, kama wanamezi (hermit crabs), kaa-mfalme (king crabs) na kaangao (horseshoe crabs), sio kaa wa kweli. Kaa wamefunikwa na kiunzi cha nje na wana miguu kumi (jozi tano) kama Decapoda wote. Jozi ya kwanza inabeba magando (kucha za kaa).
Francis Imbuga Hatima ya jamii ya Waafrika ilyozungukwa na itikadi ngeni ndio ilokuwa dhamira na maudhui ya kazi za waandishi waanzilishi wa Afrika,kazi ambazo Imbuga alizisoma.Kazi za Ngugi wa Thiong'o kama vile Weep Not, Child (1964), The River Between (1965), na The Black Hermit (1968) zina maudhui makuu ya mabadiliko ya kihistoria ya Waafrika na mizozo inayotokana na kuwepo kwa Wazungu katika Afrika.. Imbuga alizisoma kazi hizi pamoja na za waandishi wengine kama vile Elvania Zirimu, Peter Nazareth, Jonathan Kariara,na Okot p'Bitek.